Urusi yafungiwa miaka 4 kutoshiriki michezo

Timu ya taifa ya soka ya Urusi

Urusi imefungiwa miaka 4 kutojihusisha na mchezo wowote duniani, baada ya kupatikana na hatia ya kufanya udanganyifu kuhusu vipimo na maabara juu ya utengenezwaji na matumizi ya dawa za kuongeza nguvu michezoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS