Utata wa Mambo, Simba waongea, Yanga wapiga kimya
Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kuhusu jina la uwanja wa klabu ya Simba uliopo Bunju jijini Dar es salaam, msemaji Haji Manara ameeleza jina sahihi la uwanja huo ni Mo Simba Arena na sio Simba Mo Arena kama ilivyotangazwa awali.