'Eti Mkuu na huku, nitafyeka vichwa vyenu' -Mwanri Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri. Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, amesema hana mpango wa kuwavumilia baadhi ya Maafisa watendaji wa Mitaa wazembe, waliopo katika Manisipaa ya Tabora. Read more about 'Eti Mkuu na huku, nitafyeka vichwa vyenu' -Mwanri