Miss Bella awachana wasanii wanaopaka "Make up"

Picha ya Miss Bella

Mrembo na msanii Miss Bella, amesema Tanzania nzima hakuna mwanamke mzuri na wa gharama kumshinda yeye, pia amewapa somo wasanii wote ambao hawatoki bila kufanya urembo usoni yaani kupaka make up.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS