Mchezaji wa zamani ahukumiwa miezi 12 kwa kujichua

Neil Shipperley ( kulia ) wakati akicheza ligi kuu ya Uingereza

Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu ya Uingereza EPL, Neil Shipperley (45) amehukumiwa kifungo cha nje kwa miezi 12 kwa kosa la kujichua (Masturbation) mbele ya mkewe na mtoto wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS