Kifo cha kiongozi wa Oman kilitabiriwa

Sultan wa Oman Qaboos bin Said

Sultan wa Oman Qaboos bin Said amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Januari 11, 2020. Taarifa ya kifo cha Qaboos imetolewa na TV ya taifa ambapo pia zimetangazwa siku 3 za maombolezo pamoja na siku 40 za bendera kupepea nusu mlingoti. Sultan Qaboos amefariki akiwa na umri wa miaka 79.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS