Wizara yazungumzia kuhusu vikwazo vya Marekani

Bendera ya Tanzania na Marekani.

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kuwa hadi sasa hivi haijapokea waraka wowote wa Kidplomasia kutoka nchini Marekani, unaoeleza kuwa Nchi ya Tanzania ni miongoni mwa Nchi ambazo zitawekewa vikwazo kwa raia wake kwenda nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS