Makonda ataka Mbowe ahame Ufipa, ampa ofisi ya CCM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa mara baada ya kukamilisha ujenzi wa Ofisi ya ghorofa moja ya Chama cha Mapinduzi kinondoni, angependa kumpunguzia gharama za kupanga, Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA, Freeman Mbowe na kumhamishia kwenye Ofisi ndogo za CCM wilayani humo.