"Nataka Peter Msechu awe kama Vanessa" - Baba Levo

Upande wa kulia ni Baba Levo, kushoto ni Peter Msechu

Diwani wa Mwanga Kaskazini Kigoma Ujiji na msanii wa BongoFleva Baba Levo, amesema huwa anamshambulia kwa maneno Peter Msechu kwa sababu anataka apungue hadi awe na mwili kama wa Vanessa Mdee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS