Lipumba awaasa vijana wanoingia kwenye mahusiano

Mwenyekiti wa Chama cha CUF Prof Ibrahim Lipumba

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba, amewashauri vijana ambao wanataka kuingia kwenye mahusiano kwa kusema, wachukue muda kwanza kabla ya kuanzisha mahusiano kisha watafute mahusiano ambayo yatadumu kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS