CUF wajipanga kuanika ukweli kuhusu Maalim Seif

Kushoto ni Mkurugenzi wa Itifaki na Mafunzo wa CUF Masoud Mhina, na kulia ni M/Kiti wa chama cha ACT Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad.

Mkurugenzi wa Itifaki na Mafunzo wa CUF Taifa, Masoud Mhina amesema kuwa atahakikisha kipindi chote cha kampeni anakaa Zanzibar ili kuuanika ukweli wa Maalim Seif Sharif Hamad, kuwa hafanyi siasa za ukweli bali anafanya siasa za kudanganya watu kwa maslahi yake binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS