Yajue maduka yenye punguzo yaliyotajwa na Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameyataja maduka ambayo yameridhia kufanya punguzo la bei za nguo hadi asilimia 80, lengo likiwa ni kuwawezesha wananchi wake kupendeza siku ya kilele cha siku tatu za maombi ya shukrani, zilizotangazwa na Rais Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS