Madee agoma kuilaumu Yanga, atoa sababu zake

Msanii wa HipHop na shabiki wa timu ya Yanga

Msanii wa BongoFleva Madee Seneda, ameitetea timu yake ya Yanga baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa KMC, kwenye mchezo wa mechi ya kirafiki uliochezwa siku ya jana Juni 8, 2020, kwa kusema wao wame-focus zaidi kwenye ligi kuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS