UEFA waingilia kati Kadi nyekundu ya Bellingham Jude Bellingham akihamaki baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu na refa Jose Luis Munuera Montero Baada ya La Liga, UEFA sasa pia imechukua hatua kwa kumsimamisha mwamuzi Munuera Montero kuchezesha mashindano ya Ulaya hadi itakapotangazwa tena. Read more about UEFA waingilia kati Kadi nyekundu ya Bellingham