Marehemu DC wa Mtwara aliugua kwa siku 2

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evod Mmanda wakati wa uhai wake.

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara, amesema kuwa kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda, kimetokea alfajiri ya kuamkia leo Aprili 27, 2020, baada ya kuugua kwa siku mbili na kufariki ghafla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS