Kutojali wachezaji kumeishusha daraja Singida Utd Kikosi cha zamani ya Singida United katika picha ya pamoja kilichokua na nyota bora na kutikisa nchi. Wachezaji wa Singida United hawajalipwa mishahara yao kwa miezi nane hadi sasa,kiasi cha kuwafanya wengi wao kutoroka na kuitelekeza klabu yao. Read more about Kutojali wachezaji kumeishusha daraja Singida Utd