'Sekta ya Kilimo imekua' - Waziri Hasunga
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amesema kilimo kimeendelea kuwa muhimili katika maendeleo ya uchumi wa Taifa, ambapo katika kipindi cha miaka 5, Pato la Taifa linalotokana na kilimo, limeongezeka kutoka Sh. Tril. 25.2 Mwaka 2015 hadi Sh. Tril. 29.5 Mwaka 2019.