Stamina afunguka kuhusu kumuomba msamaha mkewe

Msanii Stamina akiwa na mkewe

Mkali wa HipHop Bongo Stamina, amefunguka na kusema suala la kuombana msamaha na aliyekuwa mkewe  ni jambo la siri na watu wawili, kwani wakati wanakubaliana kuwa kwenye mahusiano hakuwaambia watu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS