Stamina afunguka kuhusu kumuomba msamaha mkewe Msanii Stamina akiwa na mkewe Mkali wa HipHop Bongo Stamina, amefunguka na kusema suala la kuombana msamaha na aliyekuwa mkewe ni jambo la siri na watu wawili, kwani wakati wanakubaliana kuwa kwenye mahusiano hakuwaambia watu. Read more about Stamina afunguka kuhusu kumuomba msamaha mkewe