Picha ya kueditiwa ya Msanii wa BongoFleva Malkia akiwa na Bilionea Laizer
Kutoka katika Jamhuri ya watu wa mitandaoni kuanzia Instagram, Twitter, Facebook, na Whatsapp wanasema sasa hivi nchi imepata tajiri mpya na wanawake wanasema wamepata baby mpya ambaye ni Bilionea Saniniu Laizer.