Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Jaji Augustino Ramadhani.
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Jaji Augustino Ramadhani umeagwa rasmi kitaifa leo Ijumaa Mei Mosi, 2020, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam.