Ndugai azungumzia hali ya Mbunge aliyepata Corona

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amesema kuwa hali ya Mbunge wa kwanza aliyetangazwa kuwa amepata maambukizi ya Virusi vya Corona, inaendelea vizuri na kwamba hana dalili zozote za maambukizi hivyo anangoja vipimo vya mwisho ili aweze kuruhusiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS