Alikiba atimiza ahadi yake

Msanii wa BongoFleva Alikiba

Staa wa muziki ndani na nje ya Tanzania Alikiba, ametimiza ahadi yake aliyowaahidi mashabiki wake ya kwamba, ataachia kazi mpya mara baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS