Selasini aeleza chanzo kifo cha Kaka yake

Mbunge wa Rombo Joseph Selasini, pia ni mdogo wa Marehemu na Mwanasheria Dkt Masumbuko Lamwai.

Mbunge wa Rombo kupitia CHADEMA Joseph Selasini, amemzungumzia kwa kina Kaka yake ambaye alikuwa Mwanasheria na Mhadhiri Dkt Masumbuko Lamwai na kusema kuwa afya yake ilidhoofika kwa kipindi cha wiki mbili zilizopita na baadaye akashikwa na Malaria kabla ya umauti kumfika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS