'Hatugawi Dawa mpaka utafiti' - Waziri Kabudi

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania (Suti nyeusi) na Madagascar wakinywa dawa inayodaiwa kuwa kinga ya Corona

Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palanagamba Kabudi amesema dawa ambayo Tanzania imeipokea kutoka kwa Serikali ya Madagascar, kuwa dawa hiyo haijaja kwa ajili ya matumizi badala yake ni kwa ajili ya ufaiti kwanza

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS