Wema Sepetu atoa tahadhari kuhusu kuvaa kigodoro

Staa wa filamu hapa nchini Wema Sepetu

Baada ya ku-trend kwa picha zake mitandaoni akiwa na mbunifu wa mavazi Martin Kadinda, Madam wa nchi na Staa wa filamu Wema Sepetu ametoa tahadhari kuhusu mguu yake na suala la kuvaa kigodogoro ili kuongeza ukubwa wa makalio yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS