Real Madrid kutwaa ubingwa wa La Liga Alhamis ?

Karim Bemzema wa kwanza kushoto (Pichani) akishangilia bao na wenzake katika mchezo wa Jumatatu dhidi ya Granada.

Klabu ya soka ya Real Madrid itatwaa ubingwa wa ligi kuu ya Hispania iwapo itaifunga Villarreal siku ya Alhamis katika mechi ambayo itawahakikishia wanamaliza juu ya mabingwa watetezi wa La Liga, Barcelona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS