Balozi aeleza upendo wa Rais Kenyatta kwa WaTZ
Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu amesema kuwa, Rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta, anao upendo wa dhati kwa Watanzania kwani siku zote hutamani Wakenya na Watanzania kuwa kitu kimoja na ndiyo maana alikuwa Rais wa kwanza kwenda Chato kumsalimia Rais Magufuli.