Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda na Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema wanatarajia kuanzisha Wilaya mpya ya Kipolisi ya Chanika, ambapo tayari IGP Simon Sirro ameshapitisha mpango huo.