Dar es salaam kuanzisha Wilaya ya Kipolisi

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda na Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema wanatarajia kuanzisha Wilaya mpya ya Kipolisi ya Chanika, ambapo tayari IGP Simon Sirro ameshapitisha mpango huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS