Nyota wa zamani wa klabu ya Yanga,Sunday Manara(pichani)katika mahojiano na EATV kuhusiana na mchezo baina ya Simba dhidi ya Yanga siku ya Jumapili uwanja wa Taifa.
Aliyewahi kuwa mchezaji mashughuli wa klabu ya Yanga,Sunday Manara,baba mzazi wa afisa habari wa klabu ya Simba Hajji Manara ametoa angalizo kwa uongozi wa klabu yake juu ya aina ya wachezaji wanaowasajili.