Mbeya: Ajiua kwa risasi kwa kushindwa kulipa mkopo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei

Mfanyabiashara wa madini na mbao, Jonas Mahenge (52) aliyekuwa akiishi Kata ya Uyole Jijini Mbeya, amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea utosini kwa kutumia bunduki yake baada ya kushindwa kurejesha mkopo wa Tsh milioni 100 aliouomba benki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS