Membe apiga hatua nyingine kuelekea kazi na bata

Bernard Membe akirejesha fomu

Aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo Julai 19, 2020 amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS