Membe apiga hatua nyingine kuelekea kazi na bata Bernard Membe akirejesha fomu Aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo Julai 19, 2020 amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo. Read more about Membe apiga hatua nyingine kuelekea kazi na bata