Kinana asamehewa, Magufuli amtumia salamu Membe

Kushoto ni aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, katikati ni Rais Dkt Magufuli na kulia ni aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimemsamehe aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana, aliyekuwa amesimamishwa baada ya kupewa adhabu ya kalipio la miezi 18, baada ya kukiuka maadili ya chama na kusema kuwa kuanzia sasa anakaribishwa kuendelea kushiriki na wanachama wenzake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS