Kinana asamehewa, Magufuli amtumia salamu Membe
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimemsamehe aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana, aliyekuwa amesimamishwa baada ya kupewa adhabu ya kalipio la miezi 18, baada ya kukiuka maadili ya chama na kusema kuwa kuanzia sasa anakaribishwa kuendelea kushiriki na wanachama wenzake.

