Zlatan aitikisa AC Milan,huenda akatimka.

Zlatan Ibrahimovic (pichani) katika mchezo wa Serie A dhidi ya Inter Milan.

Zlatan Ibrahimovic amesema huenda akaondoka kwenye klabu yake ya AC Milan mwishoni mwa msimu huu, endapo mambo hayatobadilika kwenye klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS