Kila mbunifu anataka kumvalisha Rais Samia-Khadija

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu na Khadija Mwanamboka kushoto

Mbunifu wa Mavazi Khadija Mwanamboka amesema kila mbunifu wa Tanzania ana ndoto ya kutaka kumvalisha Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS