Kesi ya Afande Sasa ni Mahakama Kuu

Wakili Peter madeleka akizungumza na wananchi mbele ya mhakama hii leo

Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Dodoma chini ya Nyamburi Tungaraja inayosikiliza shauri la jinai namba 23627 imempa uhuru mlalamikiwa afande Fatma Kigondo kufika au kutofika mahakamani kutokana na mahakama hiyo kutokuwa na uwezo wa kutoa kibali cha kumkamata

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS