Alhamisi , 27th Feb , 2025

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Dkt. Wilbroad Slaa, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.

Dkt Wilbroad Slaa

Maamuzi hayo yametolewa leo Februari 27, 2025, baada ya Wakili wa Serikali Mwandamizi Job Mrema kuwasilisha nia ya DPP mbele ya Hakimu Mfawidhi Franco Kiswaga .

Shauri Na.993 la mwaka 2025 lilidai Dkt. Slaa ameshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo kupitia mtandao wa X