
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Undomo kata ya Uchana tarafa ya Nyasa wilaya ya Nzega mkoani Tabora
Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora ACP Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku waliofariki ni wanaume 13 na wanawake watano ambapo chanzo cha ajali hiyo bado kinachunguzwa