Hoteli aliyojirusha
Taarifa za awali zinaeleza kuwa Afisa huyo amejirusha kutoka ghorofa ya pili ya hoteli hiyo ambako alikuwa amepanga chumba tangu Julai 16.
Afisa hiyo alikuwa miongoni mwa watumishi wa TRA waliokuwa jijini Tanga kwa kazi maalumu ya kuandaa taarifa ya mamlaka hiyo ya mwaka.