![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2022/04/22/ntz.jpg?itok=4LL-LICH×tamp=1650604278)
Upande wa kulia ni Mbosso na kushoto Nyandu Tozzy
"Mbosso nikimuongelea kwa ufupi maisha yake ni tofauti na mziki anaouimba, anawakilisha mitaa yake. Ni mtoto wa kiswahili kabisa wa mtaani ambaye Mungu amempa kipaji cha kuimba ule mziki ambao ameuchagua" amesema Nyandu Tozzy
Zaidi tazama hapa Nyandu Tozzy akimzungumzia Mbosso.