
Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila
RC Kafulila amesema hakutakuwa na cha msalia mtume kwa viongozi wa wilaya watakaosalia kujikongoja kukamilisha uandikishaji wa anuani za makazi ya raia, baada ya siku 14 alizotoa kufika ukingoni.
Wakati hayo yakijiri, baadhi ya wananchi na viongozi wa serikali za mitaa wamesema utaratibu huo wa anuani za makazi una faida katika usalama na maendeleo ya wananchi.