
Moja ya Kambi ya wakimbizi ya Shirika la Kimataifa la kuhudumia Wakimbizi, UNHCR
Mkurugenzi wa Amnesty International UK, Steve Valdez-Symonds amesema kitendo hicho sio ubinadamu, na kwamba Mpango huo hautapunguza idadi ya wakimbizi bali utasababisha kiasi kikubwa cha ukatili na kuchochea njia hatari zaidi za wakimbizi kuanzishwa.
Uingereza imeingia makubaliano na Rwanda kuhusu maamuzi hayo, ikielezwa kwamba yatawahusu watu wote wanaoingia Uingereza kinyume cha Sheria.