Mashabiki wa Simba SC na Yanga SC
Bodi pia imesema ilipokea maelekezo ya kubadili muda wa mechi kutoka Shirikisho la Soka Nchini (TFF) Saa 7:00 mchana, ndipo ikavijulisha vilabu kuwa mechi itapigwa saa 1:00 usiku badala ya saa 11:00 jioni.
Mapema jana TFF ilitoa taarifa ikiitaka Bodi ya ligi kueleza kwanini mchezo uliahirishwa lakini Bodi nayo imesema ilipokea maelekezo kutoka TFF.
Soma taarifa kamili ya TPLB