
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Kauli hiyo ameitoa leo Mei 6, 2021, Bungeni Dodoma, wakati wa mkutano wa tatu, kikao cha 14 cha Bunge la 12.
"Waheshimiwa wabunge, hakuna mbunge aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza maswali Waziri Mkuu",amesema Naibu Spika