![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/ssssss.jpg?itok=DL1gno5j×tamp=1472334874)
mwimbaji wa nchini Kenya Size 8
Ndani ya kichupa hicho Size 8 amemshirikisha msanii mahiri wa nyimbo hizo za gospel Willy Paul ambao kwa pamoja wamewahi pia kuachia singles zao kali zikiwemo Yuko Na Wewe na 'Kwa Vile'.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/willy-paul-size-8-post-500x322.jpg?itok=gTXloy7O)
Kichupa kipya cha msanii wa kike anayefanya muziki wa injili Size 8 kilichobatizwa jina 'Tam Tam' the remix tayari kimeanza kuwateka mashabiki Afrika Mashariki.
mwimbaji wa nchini Kenya Size 8
Ndani ya kichupa hicho Size 8 amemshirikisha msanii mahiri wa nyimbo hizo za gospel Willy Paul ambao kwa pamoja wamewahi pia kuachia singles zao kali zikiwemo Yuko Na Wewe na 'Kwa Vile'.