Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zanzibar kumkosa mchezaji muhimu

Ijumaa , 15th Dec , 2017

Timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) itamkosa mchezaji wake mahiri mlinzi wa kushoto Mwinyi Haji Mngwali kwenye mchezo wa nusu fainali ya CECAFA dhidi ya Mabingwa watetezi Uganda jioni ya leo.

Mchezo huo ambao utaamua nani aende fainali kucheza na wenyeji Kenya ambao tayari wameshatangulia utapigwa kwenye uwanja wa Moi mjini Kisumu nchini Kenya.

Mwinyi anatumikia adhabu ya kadi mbili za njano alizopata kwenye mechi mbili mfululizo zilizopita ambazo ni dhidi ya Kenya ambapo timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na ule dhidi ya Libya ambapo Zanzibar ilipoteza kwa bao 1-0.

Kocha wa kikosi hicho Hemed Morocco amethibitisha kuwa mwinyi atakosekana katika mchezo huo na nafasi yake  itazibwa na mlinzi Adeyum Ahmed Seif  ambaye pia ana uwezo mkubwa.

Katika nusu fainali ya kwanza iliyopigwa jana jioni wenyeji wa michuano hiyo Kenya walitinga fainali kwa kuifunga timu ya taifa ya Sudan.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto