Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaondoa kiingilio kumvaa Mamelodi Sundowns

Alhamisi , 21st Mar , 2024

Uongozi wa klabu ya Yanga SC umetoa taarifa kuhusu maendeleo ya kikosi chao kuelekea mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns utakaochezwa Machi 30 ,2024 majira ya saa tatu usiku katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Akizungumza na Waandishi wa Habari ndani ya Makao Makuu ya Yanga mitaa ya Jangwani, Afisa habari wa Yanga SC Ally Kamwe amesema taarifa njema kwa sasa ni kurejea mazoezini kwa nyota Kibwana Shomari pamoja na Khalid Aucho huku bado Pacome Zouzoa,Yao Koussi Attouhola na Zawadi Mauya wapo chini ya uangilizi wa daktari mpaka sasa.

Aidha Ally Kamwe amesema Uongozi wa Yanga umeondoa kiingilio kwenye Jukwaa la Mzinguko kwenye mchezo dhidi ya Mamelodi Sundowns ili kutoa nafasi kwa mashabiki wa Yanga kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo huo.

“Viongozi wa Klabu yetu hawana tamaa ya fedha, ndio maana tumepunguza a kuondoa tiketi ya mzunguko kwa lengo la kuhakikisha wengi waje Uwanjani. Tumeweka maslahi ya mpira wa Tanzania mbele. Mechi ya Mamelodi ni kubwa mno lakini kwa kuwa lengo sio fedha ni hamasa”amesema Kamwe

Kikosi cha Mamelodi Sundowns  kinatarajiwa kuwasili nchini mnamo Machi 28-2024 kwa ajili ya mchezo  wa mkondo wa kwanza wa robo fainali Ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Yanga SC utaopigwa majira ya Saa 3 Usiku kwenye dimba la Benjamin Mkapa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala