Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Madini Doto Biteko, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza Antony Dialo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi pamoja na viongozi mbalimbali, akikata utepe kuzindua Kiwanda cha kusafisha Dhahabu cha Mwanza Precious Metals Refinery Limited kilichopo Sabasaba mkoani Mwanza leo tarehe 13 Juni, 2021.

13 Jun . 2021

Wachezaji wa Denmark wakimkinga mwezao Christian Eriksen alipodondoka kiwanjani

13 Jun . 2021

Picha ya msanii Young Lunya na Irene Uwoya

13 Jun . 2021

Prof. Mwesiga Baregu, enzi za Uhai wake.

13 Jun . 2021

Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi Kilele ya mazao ya maua na mboga mboga (TAHA), Dkt. Jacqueline Mkindi wakikagua mashamba ya maua na mboga mboga wilayani Arumeru Mkoani Arusha.

13 Jun . 2021

Picha ya msanii Dayna Nyange na Davido

13 Jun . 2021

Emmy Mutaboyerwa (katikati) na wanaye Daniela na Damita Mutaboyerwa.

12 Jun . 2021

Michezo mitatau ya Euro 2020, kuchezwa leo

12 Jun . 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

12 Jun . 2021