Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wenger ambana Mbappe, amshawishi kwenda Arsenal

Jumamosi , 15th Jul , 2017

Kocha mtata wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger, amekutana na mshambuliaji wa Monaco, Kylian Mbappe jijini Paris, Ufaransa na kujaribu kumshawishi kujiunga na kikosi chake.

Gazeti la Mirror la Uingereza limeripoti kuwa Wenger, alikutana na mshambuliaji huyo kwa masaa matatu akitumia muda huo kumshawishi kujiunga na Arsenal.

Kocha huyo raia wa Ufaransa amejaribu kumshawishi kinda huyo wa Monaco kwa kumwambia kuwa jiji la London ni sehemu nzuri kwake na Arsenal ni timu sahihi kwake katika kusaka mafanikio zaidi katika soka.

Wenger alijaribu kumshawishi Mbappe kwa kumtolea mfano mkongwe na Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry ambaye alijiunga na timu hiyo na kupata mafanikio makubwa.  

Mbappe, pia anawaniwa na klabu nyingine kubwa Ulaya ikiwemo Real Madrid, lakini Wenger amemshawishi kinda huyo kuachana na timu nyingine na kujiunga kwenye kikosi chake ili kupata mafanikio zaidi kama ilivyokuwa kwa Henry.
Wenger anataka kukiimarisha zaidi kikosi chake na wiki iliyopita alikamilisha usajili wa mshambuliaji Alexandre Lacazette.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto