Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachezaji wa Simba tumewalea sisi - Mtibwa

Jumatano , 18th Jan , 2017

Vinara wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, Simba SC leo watajaribu kusogea mbali na wapinzani wao katika mbio za ubingwa watakapokuwa wageni wa Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

Mechi ya Simba Vs Mtibwa, mzunguko wa kwanza

 

Msemaji wa Mtibwa Sugar Thobias Kifaru amesema, Simba wasitarajie jambo la ushindi kuwa jepesi kutokana na hali halisi ya kikosi cha Mtibwa Sugar kwa sasa na dhamira yao ya kutotaka kupoteza mechi.

Kifaru pia amesema Simba ni kama watoto wa Mtibwa kwa kuwa wachezaji wake wengi wametoka Mtibwa, hivyo wanawajua vizuri na watatumia udhaifu wa wachezaji hao kuwaadhibu.

"Simba tumewalea sisi, vijana wetu hao wako hapo, akina Shiza Kichuya, Mohamed Ibrahim, Mzamiru wote hao wamekuliwa kwenye mashamba ya miwa, tunajua udhazaifu wao" Amesema Kifaru.

Kocha Mkuu, Mcameroon Joseph Marius Omog amesema, dhamira yao ni kucheza kila mechi kama fainali kuhakikisha wanashinda.

Mara baada ya Yanga kushinda 1-0 dhidi ya wenyeji Majimaji mjini Songea mkoani Ruvuma jana, iliikaribia Simba kwa tofauti ya moja kutoka nne hivyo Simba leo watakuwa na jukumu la kupigania ushindi ili kurudisha 'gap' la pointi nne na kuendelea kuongoza vizuri mbio za ubingwa.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto