Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

United wapanga kumuachia Ronaldo

Jumanne , 16th Aug , 2022

Klabu ya Manchester United inafikiria kumruhusu Cristiano Ronaldo kuondoka Old Trafford kabla ya dirisha la usajili la sasa kufungwa kufuatia kuwepo kwa wasiwasi kwamba hali ya mshambuliaji huyo inaathiri ari ya kambi.

Cristiano Ronaldo mshambuliaji wa Manchester United

Kwa muda mrefu msimamo wa kocha Erik ten Hag umekuwa kwamba Ronaldo hauzwi na ni sehemu ya mipango yake katika kikosi hicho, lakini vipigo vya mfululizo vya ligi kuu dhidi ya Brighton na Brentford vimetikisa vibaya United, na sehemu kubwa ya kushindwa huko imewekwa kwa Ronaldo.

Nyota huyo wa kireno mwenye umri wa miaka 37, amekua akiishi kana kwamba hayupo katika klabu hiyo, kwani hawezi kuwasiliana na wachezaji wenzake wala hakai nao pamoja kantini na bado anaonesha wazi nia yake ya kutaka kuondoka.

Ronaldo amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba baada ya kurejea klabuni hapo kutoka Juventus msimu uliyopita, lakini anataka United wamuacha aondoke majira haya ya joto.

Sasa suala hili kocha Ten Hag, mtendaji mkuu Richard Arnold na mkurugenzi wa soka John Murtough waweripotiwa kulifanyia kazi kabla ya dirisha la usajili kufungwa tarehe 1 Septemba. United wako mkiani mwa ligi kuu ya England na watacheza dhidi ya Liverpool Jumatatu ijayo Agosti 22.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi