Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taifa Stars yakomaa ugenini bila Samatta

Jumapili , 12th Nov , 2017

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imelazimisha sare ugenini dhidi ya Benin kwenye mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliomalizika jioni hii.

Tanzania ambayo imecheza bila ya nahodha wake Mbwana Samatta ambaye ni majeruhi, ilijikuta ikilazimika kusubiri hadi kipindi cha pili ili kusawazisha bao la Benin lililofungwa na Stephan Sessegnon dakika ya 30.

Baada ya kurejea kutoka mapumziko Taifa Stars ilirudi na nguvu mpya ambapo walifanya mashambulizi kadhaa kupitia kwa washambuliaji wake Simon Msuva, Shiza Kichuya na Elias Maguli.

Jitihada binafsi za Shiza Kichuya zilizaa matunda dakika ya 51 baada ya kuwapita walinzi akitokea pembeni kushoto, kisha kupiga krosi ambayo ilitendewa haki na Elias Maguli kwa kuiandikia Taifa Stars bao la kusawazisha.

Baada ya bao hilo timu zote ziliendelea kushambuliana lakini hakuna timu ambayo iliona lango la mwenzake hadi mwamuzi alipomaliza mchezo huo matokeo yakabaki kuwa sare ya 1-1.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto