Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sprite BBall Kings imeleta fursa"- Evans

Jumatano , 6th Sep , 2017

Kocha wa timu ya TMT, Evans Davies Mwaseba amefunguka na kudai ushindani uliyokuwepo baina yao na Mchenga BBall Stars ulipelekea kufahamu matokeo mapema ya kuwa Mchenga BBall Stars atachukua kikombe hicho, japo kwa upande wao walijitahidi kupambana.

Timu ya TMT.

Mwaseba amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha Kipenga kinachorushwa na EA Radio na kusema wapinzani wao bahati ilikuwa upande wao ndiyo maana wameweza kushinda huku akiwapongeza kwa kuweka historia.

"Hizi timu mbili zilikuwa na upinzani mkubwa kipindi zikicheza mpaka inapelekea hujui nani atashinda, japokuwa tulipocheza 'game' ya kwanza tayari ikajionyesha kwamba Mchenga BBall Stars watachukua hili kombe moja kwa moja na hawatafika hata ile 'game 5' lakini sisi kama TMT tulijipanga vizuri, na tukasema lazima tushinde kwa njia yoyote ile lakini mwisho wa siku katika mpira wa kikapu hakuna sare ya kufunguna lazima ipatikane timu ishinde", amesema Evans.

Wachezaji wa timu ya TMT wakiwa pamoja na kocha wao Evans aliyevalia sharti jeupe

Msikilize hapa Chini Mwaseba akiendelea kufunguka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto