Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yatinga Nusu Fainali Kombe la Mapinduzi

Alhamisi , 8th Jan , 2015

Simba SC imefanikiwa kuingia hatua ya Nusu fainali baada ya kuifunga timu ya Jang'ombe goli 4-0 katika mchezo wa Robo fainali uliochezwa hapo jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

Mshambuliaji Ibrahim Hajibu aliyekuwa akiichezea Simba B akitokea Benchi aliingia kipindi cha pili akichukua nafasi ya Awadh Juma, alifunga mabao matatu katika Dakika ya 46, 63 na 75 Kabla ya Shaaban Kisiga aliyotokea Benchi pia kufunga bao la nne katika Dakika ya 80.

Hajibu alianza kwa kufunga bao la kwanza akimalizia Krosi ya Dan Sserunkuma wakati bao la Pili alimalizia kwa kichwa Krosi ya Simon Serunkuma aliyetokea Benchi pia.

Bao la tatu la Hajibu alifunga kwa penati baada ya yeye mwenyewe kuangushwa kwenye eneo la hatari na Abdallah Hajji huku Shaban Kisiga akifunga bao lake kwa shuti la mpira wa adhabu baada ya yeye mwenyewe kuangushwa umbali wa mita 26.

Baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Beki wa Kulia wa Simba SC, Hassan Kessy alitangazwa kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo.

Simba sasa itasubiri mshindi wa mchezo kati ya Mabingwa watetezi wa Kombe hilo, KCCA ya Uganda au Polisi ya Zanzibar, katika mchezo wa Nusu fainali utakaochezwa Jumamosi.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini