Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wakutana na wapinzani wa Yanga

Jumatano , 16th Mei , 2018

Kuelekea mchezo wa leo wa Kombe la shirikisho barani Afrika hatua ya makundi kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda, kocha msaidizi wa Simba Masoud Djuma na kiungo Haruna Niyonzima wameitembelea Rayon kambini.

Wawili hao wameitemebelea kambi ya Rayon Sports, huku wakiacha maswali mengi kwa mashabiki wa soka nchini wengi wakiamini kuwa wamepeleka mbinu za namna ya kucheza na Yanga kwasababu wao wanaifahamau vizuri Yanga ya msimu huu.

Haruna Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda amewahi kuwa mchezaji wa Rayon Sports kati ya miaka ya 2006 - 2007 kabla ya kujiunga na APR na baadae Yanga ambayo aliichezea hadi msimu uliopita hivyo ameitembelea klabu yake ya zamani.

Kwa upande wake kocha Masoud Djuma naye ameitembelea klabu yake hiyo ya zamani ambayo msimu uliopita kabla ya kutua Simba ndiye alikuwa kocha mkuu wa Rayon Sports na aliipa ubingwa wa Rwanda.

Mchezo huo utapigwa usiku kuanzia saa 1:00, kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaa. Yanga inashika mkia ikiwa haina alama huku Rayon Sports inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 1 kwenye kundi D linaloongozwa na U.S.M Alger yenye alama 3 na Gor Mahia alama 1.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala