Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba inakata upepo baada ya dakika 30 - Minziro

Alhamisi , 2nd Dec , 2021

Kocha wa Geita Gold Fred Felix Minziro amesema sababu ya timu yake kuishambulia sana Simba kipindi cha pili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ni kwa sababu anajua ubora wa Simba huwa ni dakika 30 tu za mwanzo wa mchezo.

Wachezaji wa Simba SC wakishangilia goli kwenye mchezo dhidi ya Geita

Licha ya kuonekana ni timu bora kipindi cha pili lakini Geita walipoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao 2-1 kwenye mchezo ambao ulichezwa katika dimba la Benjamini Mkapa Dar es salaam, mabao ya Simba yalifungwa na Peter Banda na Mzamiru Yassin na lile la Geita lilifungwa na Juma Mahadhi.

Kocha Minziro alipoulizwa kuwa alibadilisha nini kilihopelekea timu yake kuwa bora kipindi cha pili na kuwashambulia sana Simba alisema,

‘’Simba ni timu kubwa ni timu mzuri kwahiyo lazima niingie kwa tahadhali na nilijua Simba dakika zao ni dakika ya kwanza mpaka thalathini ikishapita hapo Simba inakuwa ya kawaida. Hivyo nilijaribu kupambana kwa hilo lakini ilishindikana tukaweza kutoa goli mbili, baada ya pale tukaendelea kupambano ikabidi tufunguke kama ambavyo nilifanya mechi ya Mbao nikamfunga Simba 3-2 kama mnakumbuka na leo nilifanya hivyo kipindi cha pili ikabidi nifunguke’’.

Kwa matokeo haya Simba imefikisaha alama 17 ikiwa nafasi ya pili tofauti ya alama 2 na Yanga wanoongoza Ligi wakiwa na alama 19, wakati Geita wamesalia na alama zao 5 wakiwa nafasi ya 15.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto